12 – Kupunguza kifuniko cha uso

Miongoni mwa makosa yanayoenda kinyume na Shari´ah ni kupunguza kifuniko cha uso au kukifunua kabisa barabarani wakati karibu naye hakuna mtu yeyote au kusimama karibu na mlango wakati wa kufunguliwa kwake… tunatumaini kwamba hayo yanafanyika pasi na kukusudia. Hata hivyo mwanamke anapaswa kujisitiri mbele ya macho ya wanaume, kwa sababu kufanya hivo kunazuia shari na majaribu.

  • Muhusika: Dr. ´Abdul-´Aziyz bin Daawuud al-Faaiz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Tawjiyhaat wa Tanbiyhaat lil-Fataati al-Muslimah, uk. 29
  • Imechapishwa: 03/03/2026