25 – Anas (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
”Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiondosha nguo yake kutoka mabegani ili maji yampate, na akisema: ”Ndio punde imetoka kwa Mola wake.”[1]
Ameipokea Muslim.
[1] Tamko lake ni ifuatavyo kama alivosema Anas:
”Tulipatwa na mvua wakati tulipokuwa na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akavua nguo yake, ili maji ya mvua yampate. Tukasema: ”Ee Mtume wa Allaah! Ni kwa nini umefanya hivi?” Akasema: ”Kwa sababu ndio punde imetoka kwa Mola wake.”
Hivo pia ndivo ameipokea Abu Daawuud na Ahmad (3/133) na (3/267). Tamko lilioko kwenye kitabu ni la Haafidhw Abul-Qaasim al-Baghawiy. Mtunzi ameipokea Hadiyth kutoka kwake. Hadiyth ipo katika “as-Sunnah” (823) ya Ibn Abiy ´Aaswim na katika “ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah”, uk. 25 ya ad-Daarimiy.
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 93-4
- Imechapishwa: 24/06/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
25 – Anas (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
”Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiondosha nguo yake kutoka mabegani ili maji yampate, na akisema: ”Ndio punde imetoka kwa Mola wake.”[1]
Ameipokea Muslim.
[1] Tamko lake ni ifuatavyo kama alivosema Anas:
”Tulipatwa na mvua wakati tulipokuwa na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akavua nguo yake, ili maji ya mvua yampate. Tukasema: ”Ee Mtume wa Allaah! Ni kwa nini umefanya hivi?” Akasema: ”Kwa sababu ndio punde imetoka kwa Mola wake.”
Hivo pia ndivo ameipokea Abu Daawuud na Ahmad (3/133) na (3/267). Tamko lilioko kwenye kitabu ni la Haafidhw Abul-Qaasim al-Baghawiy. Mtunzi ameipokea Hadiyth kutoka kwake. Hadiyth ipo katika “as-Sunnah” (823) ya Ibn Abiy ´Aaswim na katika “ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah”, uk. 25 ya ad-Daarimiy.
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 93-4
Imechapishwa: 24/06/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/27-hivi-ndivo-alivokuwa-akifanya-mtume-wakati-inaponyesha-mvua/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)