92 – Mutwarrif bin ´Abdillaah bin ash-Shukhayr (Radhiya Allaahu ´anh) amepokea kuwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amemsimulia ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akisema katika Rukuu´ na Sujuud yake:
سُبُّوُحٌ، قُدُّوسٌ، رَبُّ المَلاَئِكَةِ وَالرُّوحِ
“Mwingi wa kutakaswa, mtakatifu, Mola wa Malaika na roho [Jibriyl].”[1]
Ameipokea Muslim.
MAELEZO
Maana yake ni, ee Ambaye umesafika kutokana na mapungufu na ee Ambaye umetakasika kutokana na yale yasiyokustahiki, utakasifu ni Wako.
[1] Muslim (487).
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Ad´iyah wal-Adhkaar, uk. 96
- Imechapishwa: 29/10/2025
92 – Mutwarrif bin ´Abdillaah bin ash-Shukhayr (Radhiya Allaahu ´anh) amepokea kuwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amemsimulia ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akisema katika Rukuu´ na Sujuud yake:
سُبُّوُحٌ، قُدُّوسٌ، رَبُّ المَلاَئِكَةِ وَالرُّوحِ
“Mwingi wa kutakaswa, mtakatifu, Mola wa Malaika na roho [Jibriyl].”[1]
Ameipokea Muslim.
MAELEZO
Maana yake ni, ee Ambaye umesafika kutokana na mapungufu na ee Ambaye umetakasika kutokana na yale yasiyokustahiki, utakasifu ni Wako.
[1] Muslim (487).
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Ad´iyah wal-Adhkaar, uk. 96
Imechapishwa: 29/10/2025
https://firqatunnajia.com/27-duaa-ya-kwenye-rukuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
