Imaam al-Barbahaariy (Rahimahu Allaah) amesema:
Anayajua ya siri na yaliyofichikana na amelingana juu ya ´Arshi. Elimu Yake iko kila mahali na haikosekani mahali kote.
MAELEZO
Kule kuyajua Kwake yaliyomo mbinguni na ardhini na yaliyomo chini ya ardhi hayapingani na kuwa Kwake juu ya ´Arshi. Kwa kuwa Allaah (Jalla wa ´Alaa) amekizunguka kila kitu na hafichikani na kitu (Subhaanahu wa Ta´ala).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Sharh-is-Sunnah, uk. 61
- Imechapishwa: 08/01/2018
Imaam al-Barbahaariy (Rahimahu Allaah) amesema:
Anayajua ya siri na yaliyofichikana na amelingana juu ya ´Arshi. Elimu Yake iko kila mahali na haikosekani mahali kote.
MAELEZO
Kule kuyajua Kwake yaliyomo mbinguni na ardhini na yaliyomo chini ya ardhi hayapingani na kuwa Kwake juu ya ´Arshi. Kwa kuwa Allaah (Jalla wa ´Alaa) amekizunguka kila kitu na hafichikani na kitu (Subhaanahu wa Ta´ala).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Sharh-is-Sunnah, uk. 61
Imechapishwa: 08/01/2018
https://firqatunnajia.com/26-allaah-amekizunguka-kila-kitu-kwa-ujuzi/