Swali 25: Baadhi ya wagonjwa wa Kiislamu wanakufa kinyume na Qiblah kwa sababu vitanda mahospitali vimewekwa kinyume na Qiblah.
Jibu: Hakuna neno katika hilo. Sunnah ni kumwelekeza mgonjwa Qiblah wakati wa kutaka kufa kukiwa kuna wepesi wa kufanya hivo. Vinginevyo hakuna neno.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Mariydhw, uk. 48
- Imechapishwa: 11/10/2019
Swali 25: Baadhi ya wagonjwa wa Kiislamu wanakufa kinyume na Qiblah kwa sababu vitanda mahospitali vimewekwa kinyume na Qiblah.
Jibu: Hakuna neno katika hilo. Sunnah ni kumwelekeza mgonjwa Qiblah wakati wa kutaka kufa kukiwa kuna wepesi wa kufanya hivo. Vinginevyo hakuna neno.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Mariydhw, uk. 48
Imechapishwa: 11/10/2019
https://firqatunnajia.com/25-wagonjwa-wanaokufa-kwa-kuelekea-kinyume-na-qiblah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)