Swali 25: Baadhi ya wagonjwa wa Kiislamu wanakufa kinyume na Qiblah kwa sababu vitanda mahospitali vimewekwa kinyume na Qiblah.
Jibu: Hakuna neno katika hilo. Sunnah ni kumwelekeza mgonjwa Qiblah wakati wa kutaka kufa kukiwa kuna wepesi wa kufanya hivo. Vinginevyo hakuna neno.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Mariydhw, uk. 48
- Imechapishwa: 11/10/2019
Swali 25: Baadhi ya wagonjwa wa Kiislamu wanakufa kinyume na Qiblah kwa sababu vitanda mahospitali vimewekwa kinyume na Qiblah.
Jibu: Hakuna neno katika hilo. Sunnah ni kumwelekeza mgonjwa Qiblah wakati wa kutaka kufa kukiwa kuna wepesi wa kufanya hivo. Vinginevyo hakuna neno.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Mariydhw, uk. 48
Imechapishwa: 11/10/2019
https://firqatunnajia.com/25-wagonjwa-wanaokufa-kwa-kuelekea-kinyume-na-qiblah/