09 – Wanawake kutoka kwa wingi kwenda sokoni
Miongoni mwa makosa yanayoenda kinyume na Shari´ah ni wanawake kutoka kwa wingi kwenda masokoni kwa sababu ya haja au pasi na haja. Bali anatoka akiwa amejipodoa kikamilifu kana kwamba ni biharusi anayepelekwa kwa mume wake na anazungumza na wachuuzi kwa kujiachia kabisa. Bali baadhi ya wanawake wanafanya mzaha na mwenye duka, jambo ambalo lina khatari kubwa. Kwa hivyo hakikisha unamtuma mmoja katika ndugu zako wa kiume. Wasipojua unachohitaji basi toka ukiwa na ndugu yako asiyeweza kukuoa, kwani kufanya hivo ndio salama zaidi.
- Muhusika: Dr. ´Abdul-´Aziyz bin Daawuud al-Faaiz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tawjiyhaat wa Tanbiyhaat lil-Fataati al-Muslimah, uk. 29
- Imechapishwa: 27/02/2026
09 – Wanawake kutoka kwa wingi kwenda sokoni
Miongoni mwa makosa yanayoenda kinyume na Shari´ah ni wanawake kutoka kwa wingi kwenda masokoni kwa sababu ya haja au pasi na haja. Bali anatoka akiwa amejipodoa kikamilifu kana kwamba ni biharusi anayepelekwa kwa mume wake na anazungumza na wachuuzi kwa kujiachia kabisa. Bali baadhi ya wanawake wanafanya mzaha na mwenye duka, jambo ambalo lina khatari kubwa. Kwa hivyo hakikisha unamtuma mmoja katika ndugu zako wa kiume. Wasipojua unachohitaji basi toka ukiwa na ndugu yako asiyeweza kukuoa, kwani kufanya hivo ndio salama zaidi.
Muhusika: Dr. ´Abdul-´Aziyz bin Daawuud al-Faaiz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tawjiyhaat wa Tanbiyhaat lil-Fataati al-Muslimah, uk. 29
Imechapishwa: 27/02/2026
https://firqatunnajia.com/25-kutoka-kwenda-sokoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket