08 – Mwanamke kutoka hali ya kujitia manukato
Miongoni mwa makosa yanayoenda kinyume na Shari´ah ni mwanamke kutoka hali ya kuwa amejipulizia manukato. Jambo hilo ni haramu, bali ni katika madhambi makubwa. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Atapojipulizia mwanamke manukato akapita karibu na watu ili wanuse harufu yake, basi huyo ni mzinzi.”[1]
[1] Abu Daawuud na at-Tirmidhiy ambaye amesema:
”Hadiyth ni nzuri na Swahiyh.”
Ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh-ul-Jaamiy” (01/120) nr. 323.
- Muhusika: Dr. ´Abdul-´Aziyz bin Daawuud al-Faaiz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tawjiyhaat wa Tanbiyhaat lil-Fataati al-Muslimah, uk. 28
- Imechapishwa: 27/02/2026
08 – Mwanamke kutoka hali ya kujitia manukato
Miongoni mwa makosa yanayoenda kinyume na Shari´ah ni mwanamke kutoka hali ya kuwa amejipulizia manukato. Jambo hilo ni haramu, bali ni katika madhambi makubwa. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Atapojipulizia mwanamke manukato akapita karibu na watu ili wanuse harufu yake, basi huyo ni mzinzi.”[1]
[1] Abu Daawuud na at-Tirmidhiy ambaye amesema:
”Hadiyth ni nzuri na Swahiyh.”
Ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh-ul-Jaamiy” (01/120) nr. 323.
Muhusika: Dr. ´Abdul-´Aziyz bin Daawuud al-Faaiz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tawjiyhaat wa Tanbiyhaat lil-Fataati al-Muslimah, uk. 28
Imechapishwa: 27/02/2026
https://firqatunnajia.com/24-kujipulizia-manukato/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket