23 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Tangu Malaika wa baragumu alipokabidhiwa, hajaachapo kuacha kuiangalia ´Arshi kwa kuchelea asije kuamrishwa kabla ya kumaliza kupepesa macho. Macho yake yanang´aa kana kwamba ni mng´ao wa nyota mbili[1].”[2]
Ameipokea al-Haakim ambaye ameisahihisha[3].
[1] Hajapatapo kuyafunga hata dakika moja akichunga na kusubiri amri ya Allaah.
[2] al-Haakim (04/559) ambaye amesema:
”Cheni ya wapokezi wa Hadiyth ni Swahiyh.”
[3] Mtunzi ameafikiana naye katika “Talkhiysw-ul-Mustadrak” (4/55) na akaitilia nguvu zaidi kwa mujibu wa sharti za Muslim. Mambo ni kama alivosema. Abush-Shaykh pia ameipokea katika “al-´Adhwamah” (01/73) na akaitajia yenye kuitilia nguvu kutoka katika Hadiyth ya Ibn ´Abbaas.
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 93
- Imechapishwa: 24/06/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy 23. Kitabu kilichoko kwa Allaah juu ya ´Arshi
21 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Wakati Allaah (´Azza wa Jall) alipohukumu viumbe aliandika katika kitabu Chake kilichoko Kwake juu ya ´Arshi: ”Hakika huruma Yangu inashinda ghadhabu Zangu.”[1]
Imekuja Katika tamko jengine:
“Allaah kabla hajaumba viumbe aliandika kitabu: “Hakika huruma Yangu inashinda ghadhabu Zangu.” Kiko Kwake juu ya ´Arshi.”
Imekuja Katika tamko jengine:
”Wakati Allaah alipoumba viumbe, aliandika kitabu juu yake Mwenyewe. Kimenyanyuliwa juu ya ´Arshi: “Hakika huruma Yangu inashinda ghadhabu Zangu.”[2]
[1] al-Bukhaariy (3194), Muslim (2751), Ahmad (2/466) na wengineo.
[2] Hadiyth ni Swahiyh. Baadhi ya matamshi yake yapo kwa al-Bukhaariy na Muslim. Tamko la mwisho liko kwa at-Tirmidhiy. Nimeitaja katika “as-Swahiyhah” (1629) na ”Dhwilaal-ul-Jannah fiy Takhriyj-is-Sunnah” (810-811).
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 92
Imechapishwa: 12/04/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniyhttps://firqatunnajia.com/23-kitabu-kilichoko-kwa-allaah-juu-ya-arshi/
23 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Tangu Malaika wa baragumu alipokabidhiwa, hajaachapo kuacha kuiangalia ´Arshi kwa kuchelea asije kuamrishwa kabla ya kumaliza kupepesa macho. Macho yake yanang´aa kana kwamba ni mng´ao wa nyota mbili[1].”[2]
Ameipokea al-Haakim ambaye ameisahihisha[3].
[1] Hajapatapo kuyafunga hata dakika moja akichunga na kusubiri amri ya Allaah.
[2] al-Haakim (04/559) ambaye amesema:
”Cheni ya wapokezi wa Hadiyth ni Swahiyh.”
[3] Mtunzi ameafikiana naye katika “Talkhiysw-ul-Mustadrak” (4/55) na akaitilia nguvu zaidi kwa mujibu wa sharti za Muslim. Mambo ni kama alivosema. Abush-Shaykh pia ameipokea katika “al-´Adhwamah” (01/73) na akaitajia yenye kuitilia nguvu kutoka katika Hadiyth ya Ibn ´Abbaas.
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 93
Imechapishwa: 24/06/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy 23. Kitabu kilichoko kwa Allaah juu ya ´Arshi 21 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: “Wakati Allaah (´Azza wa Jall) alipohukumu viumbe aliandika katika kitabu Chake kilichoko Kwake juu ya ´Arshi: ”Hakika huruma Yangu inashinda ghadhabu Zangu.”[1] Imekuja Katika tamko jengine: “Allaah kabla hajaumba viumbe aliandika kitabu: “Hakika huruma Yangu inashinda ghadhabu Zangu.” Kiko Kwake juu ya ´Arshi.” Imekuja Katika tamko jengine: ”Wakati Allaah alipoumba viumbe, aliandika kitabu juu yake Mwenyewe. Kimenyanyuliwa juu ya ´Arshi: “Hakika huruma Yangu inashinda ghadhabu Zangu.”[2] [1] al-Bukhaariy (3194), Muslim (2751), Ahmad (2/466) na wengineo. [2] Hadiyth ni Swahiyh. Baadhi ya matamshi yake yapo kwa al-Bukhaariy na Muslim. Tamko la mwisho liko kwa at-Tirmidhiy. Nimeitaja katika “as-Swahiyhah” (1629) na ”Dhwilaal-ul-Jannah fiy Takhriyj-is-Sunnah” (810-811). Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy Mfasiri: Firqatunnajia.com Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 92 Imechapishwa: 12/04/2024 taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy https://firqatunnajia.com/23-kitabu-kilichoko-kwa-allaah-juu-ya-arshi/
https://firqatunnajia.com/24-israafiyl-akiangalia-arshi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)