Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
19- Hakuwa ni Muumbaji baada ya kuumba wala Mwanzilishi viumbe baada ya kuanzisha viumbe.
MAELEZO
Miongoni mwa majina ya Allaah (´Azza wa Jall) ni Mwanzilishi viumbe (الباري) na maana yake ni Muumbaji (الخالق). Alianzilisha viumbe, bi maana aliwaumba. Yeye ni Mwanzilishi viumbe. Jina hili halikutengana na dhati Yake na halina mwanzo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 44
- Imechapishwa: 18/09/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)