148 – ´Uqbah bin Mukram ametukhabarisha: ´Abdullaah bin Yaziyd ametukhabarisha, kutoka kwa Haywah bin Shurayh: Shurahbiyl bin Shariyk al-Mu´aafariy ametukhabarisha kwamba amemsikia Abu ´Abdir-Rahmaan al-Hubliy amesimulia kutoka kwa ´Abdullaah bin ´Amr, kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ambaye amesema:

“Dunia yote ni starehe, na bora ya starehe ya dunia ni mwanamke mwema.”[1]

[1] Muslim (1467).

  • Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 36
  • Imechapishwa: 02/07/2025