147 – Ibraahiym bin al-Mundhir al-Hizaamiy ametukhabarisha: Muhammad bin Twalhah ametukhabarisha: al-Munkadir bin Muhammad ametukhabarisha, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Jaabir, ambaye amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

“Hakukubakia katika ulimwengu isipokuwa mtihani unaosubiriwa au kila mwenye huzuni.”

  • Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 35-36
  • Imechapishwa: 02/07/2025