146 – ´Abdul-Wahhaab bin Najdah ametuhadithia: al-Waliyd bin Muslim ametukhabarisha, kutoka kwa ´Abdur-Rahmaan bin Yaziyd bin Jaabir, kutoka kwa Abiy ´Abdi Rabb az-Zaahid, kutoka kwa Mu´aawiyah, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ambaye amesema:
“Hakukubakia katika ulimwengu isipokuwa mtihani na jaribio.”[1]
[1] Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Sunan Ibn Maajah” (3276.)
- Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 35
- Imechapishwa: 02/07/2025
146 – ´Abdul-Wahhaab bin Najdah ametuhadithia: al-Waliyd bin Muslim ametukhabarisha, kutoka kwa ´Abdur-Rahmaan bin Yaziyd bin Jaabir, kutoka kwa Abiy ´Abdi Rabb az-Zaahid, kutoka kwa Mu´aawiyah, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ambaye amesema:
“Hakukubakia katika ulimwengu isipokuwa mtihani na jaribio.”[1]
[1] Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Sunan Ibn Maajah” (3276.)
Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 35
Imechapishwa: 02/07/2025
https://firqatunnajia.com/21-kilichobakia-ulimwenguni/