Inampasa kikao chake kiwe kipana ili wanaokaa humo wapate nafa. Abu Sa´iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

“Vikao bora zaidi ni vile vilivyo vipana.”

Ameipokea Abu Daawuud katika ”as-Sunan” yake kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.

  • Muhusika: Imaam Yahyaa bin Sharaf an-Nawawiy (afk. 677)
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: at-Tibyaan fiy Aadaabi Hamalat-il-Qur-aan, uk. 33
  • Imechapishwa: 26/08/2026