Swali 20: Kuhusiana na kujirudi kwa Shaykh ´Aaidh al-Qarniy amejirudi katika mambo kumi na saba peke yake au amejirudi vilevile katika mambo mengine?
Jibu: Tumefikiwa na khabari kuenezwa kwa mambo haya. Sijui kama amejirudi vilevile katika mengine yaliyobaki au hapana. Allaah ndiye anajua zaidi.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Fataawaa al-Jaliyyah
- Imechapishwa: 16/07/2017
Swali 20: Kuhusiana na kujirudi kwa Shaykh ´Aaidh al-Qarniy amejirudi katika mambo kumi na saba peke yake au amejirudi vilevile katika mambo mengine?
Jibu: Tumefikiwa na khabari kuenezwa kwa mambo haya. Sijui kama amejirudi vilevile katika mengine yaliyobaki au hapana. Allaah ndiye anajua zaidi.
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Fataawaa al-Jaliyyah
Imechapishwa: 16/07/2017
https://firqatunnajia.com/20-kujirudi-kwa-aaidh-al-qarniy/