Halafu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akamtuma ami yake Hamzah (Radhiya Allaahu ´anh) kwenda pwani. Alikuwa pamoja naye wapandaji thelathini na hakukuwemo na Answaar hata mmoja. Huko wakakutana na Abu Jahl bin Hishaam na alikuwa na msafara wa watu takriban 300. Majdiy bin ´Amr al-Juhaniy akaingilia kati yao kwa sababu alikuwa na mkataba wa amani na pande zote mbili.
- Muhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Fusuwl fiy Siyrat-ir-Rasuwl, uk. 41
- Imechapishwa: 25/04/2018
Halafu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akamtuma ami yake Hamzah (Radhiya Allaahu ´anh) kwenda pwani. Alikuwa pamoja naye wapandaji thelathini na hakukuwemo na Answaar hata mmoja. Huko wakakutana na Abu Jahl bin Hishaam na alikuwa na msafara wa watu takriban 300. Majdiy bin ´Amr al-Juhaniy akaingilia kati yao kwa sababu alikuwa na mkataba wa amani na pande zote mbili.
Muhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Fusuwl fiy Siyrat-ir-Rasuwl, uk. 41
Imechapishwa: 25/04/2018
https://firqatunnajia.com/19-hamzah-anatumwa-kwenda-pwani/