701- Imepokelewa kutoka kwa Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Itafuteni saa ambayo inatarajiwa siku ya ijumaa baada ya swalah ya ´Aswr mpaka jua kuzama.”[1]
Ameipokea at-Tirmidhiy na akasema:
“Hadiyth ni geni.”
Ameipokea vilevile at-Twabaraaniy kupitia upokezi wa Ibn Lahiy´ah na mwishoni kuna nyongeza isemeyo:
“Kiwango hichi.”
Bi maana kiwango cha kukamata na mkono. Mlolongo wa wapokezi wake ni Swahiyh zaidi kuliko wa at-Tirmidhiy.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/438)
- Imechapishwa: 13/01/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
Related
21. Hadiyth “Siku ya ijumaa ina saa kumi na mbili… “
703- Jaabir (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: “Siku ya ijumaa ina saa kumi na mbili. Hapatikani mja yeyote muislamu anayemuomba Allaah (´Azza wa Jall) kitu isipokuwa humpa nacho. Hivyo basi, itafuteni katika ile saa ya mwisho baada ya swalah ya ´Aswr.”[1]…
In "1. Swalah ya ijumaa kutoka katika "Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb""
20. Hadiyth ”Tumesoma katika Kitabu cha Allaah (Ta´ala) ya kwamba siku ya ijumaa kuna saa… “
702- ´Abdullaah bin Salaam ameeleza: ”Nilisema na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekaa: ”Tumesoma katika Kitabu cha Allaah (Ta´ala) ya kwamba siku ya ijumaa kuna saa ambayo hakutani nayo mja muumini ambapo amesimama anaswali na kumuomba Allaah kitu isipokuwa Allaah anamkhidhia haja yake.” Mtume wa Allaah (Swalla…
In "1. Swalah ya ijumaa kutoka katika "Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb""
Mamrisho ya kumswalia Mtume kwa kiwango maalum
Swali: Nimesoma Hadiyth yenye kusema: "Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: "Atakayeniswalia kwa siku mara elfumoja, basi hatokufa mpaka abashiriwe Pepo." Ameipokea Abush-Shaykh kutoka kwa Anas (Radhiya Allaah ´anh) Je, Hadiyth hii ni Swahiyh, nzuri au dhaifu? Inafaa kuitumia kama hoja? Ikiwa ni Hadiyth Swahiyh ni yepi malengo ya…
In "Swalah ya ijumaa na mengineyo yanayohusiana na ijumaa"