17- Faatwimah bint Muhammad bin ´Aliy al-Bazzaazah alisomewa huko Nafiysah na huku nikisikiza: Abu ´Abdillaah al-Husayn bin Ahmad bin Muhammad bin Twalhah amekukhabarisheni: Abul-Husayn ´Aliy bin Muhammad bin ´Abdillaah bin Bishraan ametuhadhia: ´Abdus-Swamad bin ´Aliy bin Mukram ametuhadithia: al-Haarith bin Muhammad bin Daahir at-Tamiymiy ametuhadithia: ´Aliy bin ´Aaswim ametuhadithia: Daawuud bin Abiy Hind ametuhadithia, kutoka kwa ´Aamir ash-Sha´biy ambaye amesimulia kwamba Zaynab alikuwa akisema kumwambia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Katika wake zako wote mimi ndiye nina haki kubwa zaidi na mimi ndiye niliyefungishwa ndoa iliyo bora kabisa. Nilifungishwa ndoa na Mwingi wa huruma kutoka juu ya ´Arshi Yake na Jibriyl ndiye alikuwa mkati kati. Isitoshe mimi ni binamu yako. Hakuna mwingine katika wakezo ambaye ni ndugu isipokuwa mimi tu.”[1]
[1] at-Twabariy (22/14), al-Bukhaariy (7421), at-Tirmidhiy (3213) na Ahmad (3/226).
- Mhusika: Imaam Muwaffaq-ud-Diyn bin Qudaamah al-Maqdisiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaatu Swifat-il-´Uluww, uk. 97
- Imechapishwa: 02/06/2018
17- Faatwimah bint Muhammad bin ´Aliy al-Bazzaazah alisomewa huko Nafiysah na huku nikisikiza: Abu ´Abdillaah al-Husayn bin Ahmad bin Muhammad bin Twalhah amekukhabarisheni: Abul-Husayn ´Aliy bin Muhammad bin ´Abdillaah bin Bishraan ametuhadhia: ´Abdus-Swamad bin ´Aliy bin Mukram ametuhadithia: al-Haarith bin Muhammad bin Daahir at-Tamiymiy ametuhadithia: ´Aliy bin ´Aaswim ametuhadithia: Daawuud bin Abiy Hind ametuhadithia, kutoka kwa ´Aamir ash-Sha´biy ambaye amesimulia kwamba Zaynab alikuwa akisema kumwambia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Katika wake zako wote mimi ndiye nina haki kubwa zaidi na mimi ndiye niliyefungishwa ndoa iliyo bora kabisa. Nilifungishwa ndoa na Mwingi wa huruma kutoka juu ya ´Arshi Yake na Jibriyl ndiye alikuwa mkati kati. Isitoshe mimi ni binamu yako. Hakuna mwingine katika wakezo ambaye ni ndugu isipokuwa mimi tu.”[1]
[1] at-Twabariy (22/14), al-Bukhaariy (7421), at-Tirmidhiy (3213) na Ahmad (3/226).
Mhusika: Imaam Muwaffaq-ud-Diyn bin Qudaamah al-Maqdisiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaatu Swifat-il-´Uluww, uk. 97
Imechapishwa: 02/06/2018
https://firqatunnajia.com/19-dalili-ya-kumi-na-saba-kutoka-katika-sunnah-kwamba-allaah-yuko-juu-ya-viumbe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)