18- Abu Saalih al-Aswbahaaniy ´Abdur-Rahmaan bin Sa´d ametuhadithia: ´Aqiyl bin Yahyaa ametuhadithia: Sufyaan bin ´Uyaynah ametuhadithia: Abuz-Zinaad ametuhadithia, kutoka kwa al-A´raj, kutoka kwa Abu Hurayrah aliyesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) amesema: “Ee mwanaadamu! Toa hivyo na mimi nitakupa. Hakika mkono wa kuume wa Allaah umejaa na unatoa daima. Hakuna kinachofanya ukapungua mchana na usiku.”
Ameipokea Muslim katika mlango unaohusu zakaah kupitia kwa az-Zuhayr, kutoka kwa Ibn Numayr, kutoka kwa Sufyaan bin ´Uyaynah.
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 54-55
- Imechapishwa: 05/11/2017
18- Abu Saalih al-Aswbahaaniy ´Abdur-Rahmaan bin Sa´d ametuhadithia: ´Aqiyl bin Yahyaa ametuhadithia: Sufyaan bin ´Uyaynah ametuhadithia: Abuz-Zinaad ametuhadithia, kutoka kwa al-A´raj, kutoka kwa Abu Hurayrah aliyesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) amesema: “Ee mwanaadamu! Toa hivyo na mimi nitakupa. Hakika mkono wa kuume wa Allaah umejaa na unatoa daima. Hakuna kinachofanya ukapungua mchana na usiku.”
Ameipokea Muslim katika mlango unaohusu zakaah kupitia kwa az-Zuhayr, kutoka kwa Ibn Numayr, kutoka kwa Sufyaan bin ´Uyaynah.
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 54-55
Imechapishwa: 05/11/2017
https://firqatunnajia.com/19-dalili-juu-ya-mkono-wa-allaah-5/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket