2- Kuodoka kwa haya. Mwanamke haya yake humtoka ambayo ni sehemu katika imani na maumbile yake yanayotakikana. Mwanamke alikuwa akitolewa methali wakati kunapotajwa haya. Ilikuwa inasemwa:
“Ana haya zaidi kuliko bikira kwenye chumba chake.”
Wakati haya inapomtoka mwanamke imani yake hupungua na kadhalika hupoteza maumbile yake aliyoumbwa kwayo.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hijaab, uk. 23
- Imechapishwa: 26/03/2017
2- Kuodoka kwa haya. Mwanamke haya yake humtoka ambayo ni sehemu katika imani na maumbile yake yanayotakikana. Mwanamke alikuwa akitolewa methali wakati kunapotajwa haya. Ilikuwa inasemwa:
“Ana haya zaidi kuliko bikira kwenye chumba chake.”
Wakati haya inapomtoka mwanamke imani yake hupungua na kadhalika hupoteza maumbile yake aliyoumbwa kwayo.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hijaab, uk. 23
Imechapishwa: 26/03/2017
https://firqatunnajia.com/18-mwanamke-kuonesha-uso-wake-kunamwondosha-haya/