Swali 179: Wanazuoni wamesema kuwa mtu asiyekuwa mke ameruhusiwa kuacha kujipamba na nguo nzuri kwa kipindi cha siku tatu. Ni upi usahihi wa maneno haya[1]?
Jibu: Haya ni sahihi. Kumepokelewa juu yake Hadiyth Swahiyh ambayo ni manneo yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mwanamke asimsikitikie maiti zaidi ya siku tatu; isipokuwa juu ya mume miezi minne na siku kumi.”[2]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (22/228).
[2] Ahmad (26214), al-Bukhaariy (1280) na Muslim (1486).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 134
- Imechapishwa: 10/02/2022
Swali 179: Wanazuoni wamesema kuwa mtu asiyekuwa mke ameruhusiwa kuacha kujipamba na nguo nzuri kwa kipindi cha siku tatu. Ni upi usahihi wa maneno haya[1]?
Jibu: Haya ni sahihi. Kumepokelewa juu yake Hadiyth Swahiyh ambayo ni manneo yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mwanamke asimsikitikie maiti zaidi ya siku tatu; isipokuwa juu ya mume miezi minne na siku kumi.”[2]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (22/228).
[2] Ahmad (26214), al-Bukhaariy (1280) na Muslim (1486).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 134
Imechapishwa: 10/02/2022
https://firqatunnajia.com/179-kumsikitikia-maiti-zaidi-ya-siku-nne/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)