16. Mwanamke kuonesha uso wake kuna madhara zaidi kuliko manufaa

Dalili ya kumi na moja ni mtazamo sahihi na kipimo imara kilichokuja na Shari´ah hii yenye hekima. Nacho kinatokamana na kuhakikisha manufaa na kila chenye kupelekea na kuita katika manufaa hayo na kukataza madhara na kila chenye kupelekea katika madhara hayo na kuyakemea. Kila ambacho aidha kina manufaa matupu au manufaa yenye uzito zaidi kuliko madhara basi ima ni wajibu au kimependekezwa. Na kila ambacho aidha kina madhara matupu au madhara yenye uzito zaidi kuliko manufaa basi ima ni haramu au kimechukizwa.

Tukiangalia [suala la] mwanamke kufunua uso wake mbele ya wanaume ajinabi, basi tutapata madhara mengi. Ikiwa kutapatikana manufaa fulani, basi ni madogo na yanashinda manufaa. Baadhi ya madhara yanapatikana ifuatavyo:

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: al-Hijaab, uk. 22
  • Imechapishwa: 26/03/2017