Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
135 – Kuhiji na kupigana jihaad ni mambo yenye kuendelea na mtawala wa kiislamu, ni mamoja mwema na muovu wao, mpaka kisimame Qiyaamah. Hakuna kitu kitakachoyabatilisha wala kuyaondoa.
MAELEZO
Tumeshatangulia kutaja suala la kuswali nyuma ya viongozi, ni mamoja ni wema au watenda madhambi. Tunaswali nyuma yao kwa ajili ya kutekeleza amri ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa sababu ametuamrisha kuwatii na akatukataza kuwaasi. Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) walitekeleza amri yake na wakawa wanaswali nyuma ya viongozi hata kama wanafanya baadhi ya madhambi makubwa. Kufanya hivo ni kwa ajili ya kuleta umoja. Hii ndio ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah tofauti na wanavoona Khawaarij na Mu´tazilah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 186
- Imechapishwa: 08/12/2024
Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
135 – Kuhiji na kupigana jihaad ni mambo yenye kuendelea na mtawala wa kiislamu, ni mamoja mwema na muovu wao, mpaka kisimame Qiyaamah. Hakuna kitu kitakachoyabatilisha wala kuyaondoa.
MAELEZO
Tumeshatangulia kutaja suala la kuswali nyuma ya viongozi, ni mamoja ni wema au watenda madhambi. Tunaswali nyuma yao kwa ajili ya kutekeleza amri ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa sababu ametuamrisha kuwatii na akatukataza kuwaasi. Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) walitekeleza amri yake na wakawa wanaswali nyuma ya viongozi hata kama wanafanya baadhi ya madhambi makubwa. Kufanya hivo ni kwa ajili ya kuleta umoja. Hii ndio ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah tofauti na wanavoona Khawaarij na Mu´tazilah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 186
Imechapishwa: 08/12/2024
https://firqatunnajia.com/171-kwa-ajili-ya-kuleta-umoja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)