Tukiangalia [suala la] mwanamke kufunua uso wake mbele ya wanaume ajinabi, basi tutapata madhara mengi. Ikiwa kutapatikana manufaa fulani, basi ni madogo na yanashinda manufaa. Baadhi ya madhara yanapatikana ifuatavyo:
1- Fitina. Mwanamke hujifitinisha mwenyewe pindi anapojipamba uso wake na hujionyesha katika muonekano wenye kufitinisha. Hii ni moja ya sababu kubwa ya shari na ufisadi.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hijaab, uk. 22
- Imechapishwa: 26/03/2017
Tukiangalia [suala la] mwanamke kufunua uso wake mbele ya wanaume ajinabi, basi tutapata madhara mengi. Ikiwa kutapatikana manufaa fulani, basi ni madogo na yanashinda manufaa. Baadhi ya madhara yanapatikana ifuatavyo:
1- Fitina. Mwanamke hujifitinisha mwenyewe pindi anapojipamba uso wake na hujionyesha katika muonekano wenye kufitinisha. Hii ni moja ya sababu kubwa ya shari na ufisadi.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hijaab, uk. 22
Imechapishwa: 26/03/2017
https://firqatunnajia.com/17-mwanamke-kuonesha-uso-wake-kunepelekea-katika-fitina/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
