Swali: Kuna mfungaji alioga na kwa sababu ya nguvu kubwa ya maji yakaingia tumboni mwake pasi na kutaka kwake. Je, analazimika kulipa?
Jibu: Halazimiki kulipa kwa sababu hakukusudia kufanya hivo. Huyu ana hukumu moja kama mwenye kutenzwa nguvu na mwenye kusahau.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ashyaa´ laa tufsid-is-Swawm, uk. 13-14
- Imechapishwa: 03/04/2021
Swali: Kuna mfungaji alioga na kwa sababu ya nguvu kubwa ya maji yakaingia tumboni mwake pasi na kutaka kwake. Je, analazimika kulipa?
Jibu: Halazimiki kulipa kwa sababu hakukusudia kufanya hivo. Huyu ana hukumu moja kama mwenye kutenzwa nguvu na mwenye kusahau.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ashyaa´ laa tufsid-is-Swawm, uk. 13-14
Imechapishwa: 03/04/2021
https://firqatunnajia.com/17-maji-yameingia-tumboni-mwake-alipokuwa-anaoga/