Madhambi bila shaka yanapelekea katika udhalilifu. Utukufu wote unapatikana katika kumtii Allaah. Allaah (Ta´ala) amesema:
مَن كَانَ يُرِيدُ الْعِزَّةَ فَلِلَّـهِ الْعِزَّةُ جَمِيعًا
“Yeyote anayetaka utukufu, basi [atambue kuwa] utukufu wote uko kwa Allaah.”[1]
Bi maana mtu autafute katika kumtii Allaah. Kwani hawezi kuupata isipokuwa kwa kumtii Allaah. Kuna baadhi ya Salaf walikuwa wakisema:
اللهم أعزَّنِي بِطاعَتِك , ولا تُذِلَّني بمعصيتك
“Ee Allaah! Nitukuze kwa kukutii na wala usinifedheheshe kwa kukuasi.”
al-Hasan al-Baswriy amesema:
“Hata kama watawapanda nyumbu na farasi wa kazi hakika udhalilifu wa maasi hauziachi nyoyo zao. Hakuna kitu anachomfanya Allaah yule anayemuasi isipokuwa kumdhalilisha.”
[1] 35:10
- Muhusika: Imaam Ibn Qayyim-il-Jawziyyah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ad-Daa’ wad-Dawaa’, uk. 71
- Imechapishwa: 08/01/2018
Madhambi bila shaka yanapelekea katika udhalilifu. Utukufu wote unapatikana katika kumtii Allaah. Allaah (Ta´ala) amesema:
مَن كَانَ يُرِيدُ الْعِزَّةَ فَلِلَّـهِ الْعِزَّةُ جَمِيعًا
“Yeyote anayetaka utukufu, basi [atambue kuwa] utukufu wote uko kwa Allaah.”[1]
Bi maana mtu autafute katika kumtii Allaah. Kwani hawezi kuupata isipokuwa kwa kumtii Allaah. Kuna baadhi ya Salaf walikuwa wakisema:
اللهم أعزَّنِي بِطاعَتِك , ولا تُذِلَّني بمعصيتك
“Ee Allaah! Nitukuze kwa kukutii na wala usinifedheheshe kwa kukuasi.”
al-Hasan al-Baswriy amesema:
“Hata kama watawapanda nyumbu na farasi wa kazi hakika udhalilifu wa maasi hauziachi nyoyo zao. Hakuna kitu anachomfanya Allaah yule anayemuasi isipokuwa kumdhalilisha.”
[1] 35:10
Muhusika: Imaam Ibn Qayyim-il-Jawziyyah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ad-Daa’ wad-Dawaa’, uk. 71
Imechapishwa: 08/01/2018
https://firqatunnajia.com/17-madhambi-yanapelekea-katika-udhalilifu/