Inatakikana kwa mwanafunzi arudishe kila kitu kwa wenyewe. Haimstahikii mwanafunzi kuingia katika kila kitu. Utamuona kila kunapotokea kitu ameshakuwa msitari wa kwanza kukikimbilia na anapoteza wakati wake katika kitu hicho. Haina shaka ya kwamba hili ni kosa.
Mwanafunzi anatakiwa atambue kiwango chake, aiendee kazi yake na ajishughulishe na kile chenye kumnufaisha.
Ama kisichokuhusu na kinawahusu wanachuoni, Mashaykh na wakubwa awaachie wao.
- Muhusika: Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Ilm wa Wasaaailuh wa Thimaaruh
- Imechapishwa: 22/10/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)