Swali 164: Je, anaadhibiwa maiti endapo atausia asifanyiwe maombolezo kisha akafanyiwa maombolezo[1]?
Jibu: Allaah ndiye anajua zaidi. Ni lazima kwao kutahadhari. Pengine atakuwa mwenye kusalimika ikiwa aliwausia na akawatadharisha kwa kujengea kanuni ya ki-Shari´ah iliyochukuliwa kutoka katika Aayah ya Qur-aan:
وَلَا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَىٰ
“Wala habebi mbebaji mzigo [wa dhambi] wa mtu mwengine.”[2]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/415-416).
[2] 06:164
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 120
- Imechapishwa: 02/02/2022
Swali 164: Je, anaadhibiwa maiti endapo atausia asifanyiwe maombolezo kisha akafanyiwa maombolezo[1]?
Jibu: Allaah ndiye anajua zaidi. Ni lazima kwao kutahadhari. Pengine atakuwa mwenye kusalimika ikiwa aliwausia na akawatadharisha kwa kujengea kanuni ya ki-Shari´ah iliyochukuliwa kutoka katika Aayah ya Qur-aan:
وَلَا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَىٰ
“Wala habebi mbebaji mzigo [wa dhambi] wa mtu mwengine.”[2]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/415-416).
[2] 06:164
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 120
Imechapishwa: 02/02/2022
https://firqatunnajia.com/164-kama-aliacha-wasia-pengine-akasalimika-na-adhabu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)