Swali 162: Je, ni lazima kushukuru wakati wa msiba[1]?
Jibu: Kilicho cha lazima ni kusubiri. Kuhusu kuridhia na kushukuru ni mambo yamependekezwa. Kuna mambo matatu wakati wa msiba:
1 – Subira. Nayo ni lazima.
2 – Kuridhia. Imependekezwa.
3 – Kushukuru. Ndio bora zaidi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/413).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 118
- Imechapishwa: 28/01/2022
Swali 162: Je, ni lazima kushukuru wakati wa msiba[1]?
Jibu: Kilicho cha lazima ni kusubiri. Kuhusu kuridhia na kushukuru ni mambo yamependekezwa. Kuna mambo matatu wakati wa msiba:
1 – Subira. Nayo ni lazima.
2 – Kuridhia. Imependekezwa.
3 – Kushukuru. Ndio bora zaidi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/413).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 118
Imechapishwa: 28/01/2022
https://firqatunnajia.com/162-kushukuru-ni-lazima-wakati-wa-msiba/