Swali 16: Masiku ya mwisho ya hedhi na kabla ya kutwahirika mwanamke haoni athari ya damu. Je, afunge siku hiyo ilihali hajaona mtiririko mweupe?
Jibu: Ikiwa mazowea yake haoni mtiririko mweupe, kama ilivyo kwa baadhi ya wanawake, basi atatakiwa kufunga. Na ikiwa amezowea kuona mtiririko mweupe, basi asifunge mpaka kwanza aone mtiririko mweupe.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 16-17
- Imechapishwa: 25/06/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)