82- al-Bazzaar amepokea kwa ufupi kupitia kwa ´Aaishah kwamba (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule ambaye anawafunza watu kheri anaombewa msamaha na kila kitu, mpaka nyanguumi ndani ya bahari.”[1]
[1] Swahiyh kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/143)
- Imechapishwa: 29/04/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
82- al-Bazzaar amepokea kwa ufupi kupitia kwa ´Aaishah kwamba (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule ambaye anawafunza watu kheri anaombewa msamaha na kila kitu, mpaka nyanguumi ndani ya bahari.”[1]
[1] Swahiyh kupitia zengine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/143)
Imechapishwa: 29/04/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/16-hadiyth-yule-ambaye-anawafunza-watu-kheri-anaombewa-msamaha/