Swali 158: Ni ipi hukumu ya maneno yao:
يَا أَيَّتُهَا النَّفْسُ الْمُطْمَئِنَّةُ
“Ee nafsi iliyotua!”[1]?
Jibu: Hili ni kosa. Kipi kimewajuza jambo hilo? Kilichosuniwa ni kumwombea du´aa ya msamaha na rehema na itatosha kufanya hivo.
[1] 89:27-30
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 116
- Imechapishwa: 06/02/2022
Swali 158: Ni ipi hukumu ya maneno yao:
يَا أَيَّتُهَا النَّفْسُ الْمُطْمَئِنَّةُ
“Ee nafsi iliyotua!”[1]?
Jibu: Hili ni kosa. Kipi kimewajuza jambo hilo? Kilichosuniwa ni kumwombea du´aa ya msamaha na rehema na itatosha kufanya hivo.
[1] 89:27-30
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 116
Imechapishwa: 06/02/2022
https://firqatunnajia.com/158-kipi-kimewajuza-jambo-hilo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)