15 – Tabia njema

Msichana wa Kiislamu! Jipambe kwa maadili mema na matukufu ya Kiislamu. Hakika mtu mwenye maadili mema anapendeza mbele ya Allaah na mbele ya waja Wake. Hakika kwa tabia yake njema anapata nafasi ya juu Peponi. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):

”Hakika aliye karibu zaidi kwangu kingazi katika nyinyi siku ya Qiyaamah ni yule mbora wenu zaidi wa maadili.”

  • Muhusika: Dr. ´Abdul-´Aziyz bin Daawuud al-Faaiz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Tawjiyhaat wa Tanbiyhaat lil-Fataati al-Muslimah, uk. 20