al-Qummiy amesema:
“Abul-Jaaruud amepokea kutoka kwa Abu Ja´far ambaye amesema kuhusiana na maneno Yake:
وَالَّذِينَ يُمَسِّكُونَ بِالْكِتَابِ وَأَقَامُوا الصَّلَاةَ إِنَّا لَا نُضِيعُ أَجْرَ الْمُصْلِحِينَ
“Wale wanaoshikamana barabara na Kitabu na wakasimamisha swalah, hakika Sisi hatupotezi ujira wa watendao mema.”[1]
“Imeteremshwa kuhusu kizazi cha Muhammad na wafuasi wao.”[2]
Aayah ni yenye kuenea na inawahusu wale wote wenye kushikamana na yale yaliyokuja na Mitume. Katika wao unaingia Ummah huu mtukufu – Ummah wa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuifupisha kwa kizazi cha Muhammad ni katika kumsemea uongo mkubwa kabisa Allaah.
[1] 07:170
[2] Tafsiyr al-Qummiy (1/246).
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Intiswaar li Kitaab-il-´Aziyz al-Jabbaar, uk. 208
- Imechapishwa: 19/09/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)