Abu Daawuud (1/247) amesema: Qutaybah bin Sa´iyd ametuhadithia: Marwaan bin Mu´aawiyah al-Fazaariy ametuhadithia, kutoka kwa Hilaal bin Maymuun ar-Ramliy, kutoka kwa Ya´laa bin Shaddaad bin Aws, kutoka kwa baba yake, ambaye ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Jitofautisheni na mayahudi, kwani hakika wao hawaswali kwenye viatu vyao wala soksi za ngozi.”[1]
Ameipokea (kwa mujibu wa “Mawaarid-udh-Dhwamaan”, uk. 107) ya Ibn Hibbaan kwa ziada inayosema “na manaswara”, al-Bayhaqiy (2/423) na al-Haakim (1/26), ambaye amesema:
”Cheni ya wapokezi ya Hadiyth hii ni Swahiyh na wala hakuipokea al-Bukhaariy wala Muslim.”
adh-Dhahabiy ameafikiana naye.
kwa mujibu wa “Faydhw-ul-Qadiyr” amesema Haafidhw al-´Iraaqy kwamba “cheni yake ya wapokezi ni nzuri”.
at-Twabaraaniy ameipokea katika “al-Mu´jam al-Kabiyr” (7/348) kwa tamko linalosema:
”Swalini kwenye viatu vyenu na wala msijifananishe na mayahudi.”
[1] Abu Daawuud (652) na Ibn Hibbaan (3186). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh Sunan Abiy Daawuud” (652).
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: as-Swalaah fiyn-Ni´aal, uk. 15
- Imechapishwa: 03/06/2025
Abu Daawuud (1/247) amesema: Qutaybah bin Sa´iyd ametuhadithia: Marwaan bin Mu´aawiyah al-Fazaariy ametuhadithia, kutoka kwa Hilaal bin Maymuun ar-Ramliy, kutoka kwa Ya´laa bin Shaddaad bin Aws, kutoka kwa baba yake, ambaye ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Jitofautisheni na mayahudi, kwani hakika wao hawaswali kwenye viatu vyao wala soksi za ngozi.”[1]
Ameipokea (kwa mujibu wa “Mawaarid-udh-Dhwamaan”, uk. 107) ya Ibn Hibbaan kwa ziada inayosema “na manaswara”, al-Bayhaqiy (2/423) na al-Haakim (1/26), ambaye amesema:
”Cheni ya wapokezi ya Hadiyth hii ni Swahiyh na wala hakuipokea al-Bukhaariy wala Muslim.”
adh-Dhahabiy ameafikiana naye.
kwa mujibu wa “Faydhw-ul-Qadiyr” amesema Haafidhw al-´Iraaqy kwamba “cheni yake ya wapokezi ni nzuri”.
at-Twabaraaniy ameipokea katika “al-Mu´jam al-Kabiyr” (7/348) kwa tamko linalosema:
”Swalini kwenye viatu vyenu na wala msijifananishe na mayahudi.”
[1] Abu Daawuud (652) na Ibn Hibbaan (3186). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh Sunan Abiy Daawuud” (652).
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: as-Swalaah fiyn-Ni´aal, uk. 15
Imechapishwa: 03/06/2025
https://firqatunnajia.com/14-hadiyth-jitofautisheni-na/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket