al-´Ayyaashiy amesema:
“Abu Baswiyr amepokea kutoka kwa Abu ´Abdillaah ambaye amesema:
قَالَ فَبِمَا أَغْوَيْتَنِي لَأَقْعُدَنَّ لَهُمْ صِرَاطَكَ الْمُسْتَقِيمَ ثُمَّ لَآتِيَنَّهُم مِّن بَيْنِ أَيْدِيهِمْ وَمِنْ خَلْفِهِمْ وَعَنْ أَيْمَانِهِمْ وَعَن شَمَائِلِهِمْ ۖ وَلَا تَجِدُ أَكْثَرَهُمْ شَاكِرِينَ
“Akasema: “Basi kwa kuwa Umenihukumia kupotoka, nitawakalia katika njia Yako iliyonyooka, kisha nitawaendea mbele yao na nyuma na kuliani kwao na kushotoni kwao na wala hutopata wengi wao ni wenye kushukuru.”[1]
“Njia ambayo Ibliys anaizungumzia ni ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh).”[2]
Allaah amemtakasa Abu ´Abdillaah kutokamana na uongo na upumbavu huu. Njia iliyonyooka ni Uislamu ambao Allaah ameuweka tokea wakati wa Aadam mpaka wakati wa Mtume wa mwisho (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] 07:16-17
[2] Tafsiyr al-´Ayyaashiy (2/9).
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Intiswaar li Kitaab-il-´Aziyz al-Jabbaar, uk. 196
- Imechapishwa: 31/08/2018
al-´Ayyaashiy amesema:
“Abu Baswiyr amepokea kutoka kwa Abu ´Abdillaah ambaye amesema:
قَالَ فَبِمَا أَغْوَيْتَنِي لَأَقْعُدَنَّ لَهُمْ صِرَاطَكَ الْمُسْتَقِيمَ ثُمَّ لَآتِيَنَّهُم مِّن بَيْنِ أَيْدِيهِمْ وَمِنْ خَلْفِهِمْ وَعَنْ أَيْمَانِهِمْ وَعَن شَمَائِلِهِمْ ۖ وَلَا تَجِدُ أَكْثَرَهُمْ شَاكِرِينَ
“Akasema: “Basi kwa kuwa Umenihukumia kupotoka, nitawakalia katika njia Yako iliyonyooka, kisha nitawaendea mbele yao na nyuma na kuliani kwao na kushotoni kwao na wala hutopata wengi wao ni wenye kushukuru.”[1]
“Njia ambayo Ibliys anaizungumzia ni ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh).”[2]
Allaah amemtakasa Abu ´Abdillaah kutokamana na uongo na upumbavu huu. Njia iliyonyooka ni Uislamu ambao Allaah ameuweka tokea wakati wa Aadam mpaka wakati wa Mtume wa mwisho (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] 07:16-17
[2] Tafsiyr al-´Ayyaashiy (2/9).
Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Intiswaar li Kitaab-il-´Aziyz al-Jabbaar, uk. 196
Imechapishwa: 31/08/2018
https://firqatunnajia.com/136-al-ayyaashiy-upotoshaji-wake-wa-kwanza-wa-al-araaf/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
