3 – Khawaarij. Nao ni wale ambao walitoka kwa ajili ya kumpiga vita ´Aliy bin Abiy Twaalib kwa sababu ya hukumu. Madhehebu yao ni kujitenga mbali na ´Uthmaan na ´Aliy na kuwafanyia uasi viongozi pale wanapoenda kinyume na Sunnah. Vilevile wanaona kuwa mtenda dhambi kubwa ni kafiri na kwamba atadumishwa Motoni milele. Wako mapote mengi.

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Ta´aliyq mukhtaswar ´alaa Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 162
  • Imechapishwa: 21/02/2023