11- Imethibiti kwamba ´Abdur-Rahmaan bin Saabitw amesimulia kwamba Abu Bakr as-Swiddiyq (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Allaah aliumba viumbe na wakawa kwenye mkamato Wake. Akasema kuwaambia wale waliokuwa mikononi Mwake: “Ingieni Pepo kwa amani!”
Ameipokea al-Laalakaa´iy na Ibn Battwah katika vitabu vyao vya ´Aqiydah kupitia kwa Fitwr, kutoak kwa ´Abdur-Rahmaan.
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 19
- Imechapishwa: 18/06/2019
11- Imethibiti kwamba ´Abdur-Rahmaan bin Saabitw amesimulia kwamba Abu Bakr as-Swiddiyq (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Allaah aliumba viumbe na wakawa kwenye mkamato Wake. Akasema kuwaambia wale waliokuwa mikononi Mwake: “Ingieni Pepo kwa amani!”
Ameipokea al-Laalakaa´iy na Ibn Battwah katika vitabu vyao vya ´Aqiydah kupitia kwa Fitwr, kutoak kwa ´Abdur-Rahmaan.
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 19
Imechapishwa: 18/06/2019
https://firqatunnajia.com/12-maneno-ya-abu-bakr-as-swiddiyq-kuhusu-mikono-ya-allaah/