11- Imethibiti kwamba ´Abdur-Rahmaan bin Saabitw amesimulia kwamba Abu Bakr as-Swiddiyq (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Allaah aliumba viumbe na wakawa kwenye mkamato Wake. Akasema kuwaambia wale waliokuwa mikononi Mwake: “Ingieni Pepo kwa amani!”
Ameipokea al-Laalakaa´iy na Ibn Battwah katika vitabu vyao vya ´Aqiydah kupitia kwa Fitwr, kutoak kwa ´Abdur-Rahmaan.
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 19
- Imechapishwa: 18/06/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket