12 – Kuwaunga ndugu
Binti wa Kiislamu! Pupia kuwaunga jamaa, kwani ni miongoni mwa ´ibaadah kuu. Kuwa ni nguzo ya ujenzi katika familia na kwenye familia nzima. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Yule anayetaka kukunjuliwa riziki yake na kurefushiwa maisha basi awaunge ndugu zake.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
- Muhusika: Dr. ´Abdul-´Aziyz bin Daawuud al-Faaiz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tawjiyhaat wa Tanbiyhaat lil-Fataati al-Muslimah, uk. 19
- Imechapishwa: 11/02/2026
12 – Kuwaunga ndugu
Binti wa Kiislamu! Pupia kuwaunga jamaa, kwani ni miongoni mwa ´ibaadah kuu. Kuwa ni nguzo ya ujenzi katika familia na kwenye familia nzima. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Yule anayetaka kukunjuliwa riziki yake na kurefushiwa maisha basi awaunge ndugu zake.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
Muhusika: Dr. ´Abdul-´Aziyz bin Daawuud al-Faaiz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tawjiyhaat wa Tanbiyhaat lil-Fataati al-Muslimah, uk. 19
Imechapishwa: 11/02/2026
https://firqatunnajia.com/12-kuunga-kizazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket