72 – Abu Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kusoma usiku Aayah mbili mwishoni mwa Suurah al-Baqarah zitamtosheleza.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
MAELEZO
Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“… zitamtosheleza.”
Bi maana zitamtosheleza kutokana na kila baya. Imesemekana pia kuwa zitamtosheleza kutokana na kisimamo cha usiku, ingawa maoni ya kwanza ndio bora zaidi. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akizisoma na akisimama usiku kuswali.
[1] al-Bukhaariy (5009) na Muslim (708).
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Ad´iyah wal-Adhkaar, uk. 79
- Imechapishwa: 26/10/2025
72 – Abu Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kusoma usiku Aayah mbili mwishoni mwa Suurah al-Baqarah zitamtosheleza.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
MAELEZO
Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“… zitamtosheleza.”
Bi maana zitamtosheleza kutokana na kila baya. Imesemekana pia kuwa zitamtosheleza kutokana na kisimamo cha usiku, ingawa maoni ya kwanza ndio bora zaidi. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akizisoma na akisimama usiku kuswali.
[1] al-Bukhaariy (5009) na Muslim (708).
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Ad´iyah wal-Adhkaar, uk. 79
Imechapishwa: 26/10/2025
https://firqatunnajia.com/12-aayah-zinazomtosheleza-mja-usiku-mzima/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
