Swali 119: Je, inafaa kuyatembelea makaburi ya makafiri[1]?
Jibu: Ni sawa ikiwa katika kufanya hivo kunapatikana mazingatio. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alilitembelea kaburi la mama yake na akamwomba Allaah idhini kumwombea msamaha lakini hakupewa idhini. Alimpa idhini ya matembezi peke yake.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/337).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 87-88
- Imechapishwa: 13/01/2022
Swali 119: Je, inafaa kuyatembelea makaburi ya makafiri[1]?
Jibu: Ni sawa ikiwa katika kufanya hivo kunapatikana mazingatio. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alilitembelea kaburi la mama yake na akamwomba Allaah idhini kumwombea msamaha lakini hakupewa idhini. Alimpa idhini ya matembezi peke yake.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/337).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 87-88
Imechapishwa: 13/01/2022
https://firqatunnajia.com/119-je-inafaa-kuyatembelea-makaburi-ya-makafiri/