Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
95 –Amewafanya viumbe Wake wasiweze kuyazunguka.
MAELEZO
Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) anayajua yote yaliyo mbele ya viumbe na yote yaliyo nyuma yao, lakini hata hivyo viumbe hawawezi kumzunguka Yeye kwa ujuzi. Allaah (´Azza wa Jall):
وَلَا يُحِيطُونَ بِشَيْءٍ مِّنْ عِلْمِهِ إِلَّا بِمَا شَاءَ
“… wala hawakizunguki chochote katika elimu Yake isipokuwa kwa akitakacho.”[1]
Allaah amekizunguka kila kitu kwa ujuzi:
لِتَعْلَمُوا أَنَّ اللَّـهَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ وَأَنَّ اللَّـهَ قَدْ أَحَاطَ بِكُلِّ شَيْءٍ عِلْمًا
”[Haya yote] ili mjue kwamba Allaah juu ya kila kitu ni muweza na kwamba Allaah amekwishakizunguka kila kitu kwa ujuzi.”[2]
[1]2:255
[2]65:12
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 126
- Imechapishwa: 11/11/2024
Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
95 –Amewafanya viumbe Wake wasiweze kuyazunguka.
MAELEZO
Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) anayajua yote yaliyo mbele ya viumbe na yote yaliyo nyuma yao, lakini hata hivyo viumbe hawawezi kumzunguka Yeye kwa ujuzi. Allaah (´Azza wa Jall):
وَلَا يُحِيطُونَ بِشَيْءٍ مِّنْ عِلْمِهِ إِلَّا بِمَا شَاءَ
“… wala hawakizunguki chochote katika elimu Yake isipokuwa kwa akitakacho.”[1]
Allaah amekizunguka kila kitu kwa ujuzi:
لِتَعْلَمُوا أَنَّ اللَّـهَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ وَأَنَّ اللَّـهَ قَدْ أَحَاطَ بِكُلِّ شَيْءٍ عِلْمًا
”[Haya yote] ili mjue kwamba Allaah juu ya kila kitu ni muweza na kwamba Allaah amekwishakizunguka kila kitu kwa ujuzi.”[2]
[1]2:255
[2]65:12
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 126
Imechapishwa: 11/11/2024
https://firqatunnajia.com/115-ujuzi-wa-allaah-kwa-watu-na-ujuzi-wa-watu-kwa-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket