Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
94 – Amekizunguka kila kitu na Yeye yuko juu yake.
MAELEZO
Ujuzi Wake (Tabaarak wa Ta´ala) umekienea kila kitu. Licha ya kwamba yuko juu ya viumbe elimu Yake imekizunguka kila kitu:
إِنَّ اللَّـهَ لَا يَخْفَىٰ عَلَيْهِ شَيْءٌ فِي الْأَرْضِ وَلَا فِي السَّمَاءِ
“Hakika Allaah hakifichiki Kwake chochote katika ardhi wala katika mbingu.”[1]
Elimu Yake kuyazunguka mambo maana yake ni kwamba anajua kila kitu. Vinginevyo Allaah (´Azza wa Jall) yuko juu.
[1]3:5
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 126
- Imechapishwa: 10/11/2024
Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
94 – Amekizunguka kila kitu na Yeye yuko juu yake.
MAELEZO
Ujuzi Wake (Tabaarak wa Ta´ala) umekienea kila kitu. Licha ya kwamba yuko juu ya viumbe elimu Yake imekizunguka kila kitu:
إِنَّ اللَّـهَ لَا يَخْفَىٰ عَلَيْهِ شَيْءٌ فِي الْأَرْضِ وَلَا فِي السَّمَاءِ
“Hakika Allaah hakifichiki Kwake chochote katika ardhi wala katika mbingu.”[1]
Elimu Yake kuyazunguka mambo maana yake ni kwamba anajua kila kitu. Vinginevyo Allaah (´Azza wa Jall) yuko juu.
[1]3:5
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 126
Imechapishwa: 10/11/2024
https://firqatunnajia.com/114-yuko-juu-na-elimu-yake-imeenea-kila-mahali/