Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah amesema:
Amesema wakati alipokuwa akieleza Kundi lililookoka:
“Ni lile litakalofuata yale ninayofuata mimi hii leo na Maswahabah zangu.”[1]
MAELEZO
Bi maana lililookoka kutokana na Moto, kwa sababu kabla yake amesema:
”Yote yataingia Motoni isipokuwa moja tu.”
Wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipoulizwa juu ya kundi lililookoka na Moto, akasema:
“Ni lile litakalofuata yale ninayofuata mimi hii leo na Maswahabah zangu.”
Hii leo, bi maana wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hicho ndio kigezo cha njia ya uokozi. Kwa sababu watu wengi wanadanganyika na wingi. Wanaona namna ambavyo watu wengi wanafuata jambo fulani na hatimaye wanaamua kupinda nao.
[1] Abu Daawuud (4596), at-Tirmidhiy (2641) na Ibn Maajah (3992). Nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Mishkaat-ul-Maswaabiyh” (171).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat at-Tawdhwiyhiyyah ´alaa Muqaddimat-il-Fatwaa al-Hamawiyyah, uk. 168
- Imechapishwa: 10/09/2024
Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah amesema:
Amesema wakati alipokuwa akieleza Kundi lililookoka:
“Ni lile litakalofuata yale ninayofuata mimi hii leo na Maswahabah zangu.”[1]
MAELEZO
Bi maana lililookoka kutokana na Moto, kwa sababu kabla yake amesema:
”Yote yataingia Motoni isipokuwa moja tu.”
Wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipoulizwa juu ya kundi lililookoka na Moto, akasema:
“Ni lile litakalofuata yale ninayofuata mimi hii leo na Maswahabah zangu.”
Hii leo, bi maana wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hicho ndio kigezo cha njia ya uokozi. Kwa sababu watu wengi wanadanganyika na wingi. Wanaona namna ambavyo watu wengi wanafuata jambo fulani na hatimaye wanaamua kupinda nao.
[1] Abu Daawuud (4596), at-Tirmidhiy (2641) na Ibn Maajah (3992). Nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Mishkaat-ul-Maswaabiyh” (171).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Ta´liyqaat at-Tawdhwiyhiyyah ´alaa Muqaddimat-il-Fatwaa al-Hamawiyyah, uk. 168
Imechapishwa: 10/09/2024
https://firqatunnajia.com/114-kigezo-cha-njia-ya-uokozi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)