Nilimuuliza Ibn-ul-Qaasim maoni ya Maalik juu ya waafrika walio nje ya nchi siku ya Fitwr; ni wapi wanatakiwa kuto Zakaat-ul-Fitwr? Akasema:
“Pale wanapotaka,” ndivo anavosema Maalik.
Maalik amesema:
“Inasihi vilevile familia yake Afrika wakatoa kwa niaba yake.”
- Muhusika: Imaam Sahnuun bin Sa´iyd at-Tanuukhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Mudawwanah al-Kubraa (1/11o)
- Imechapishwa: 01/05/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)