Mtu akiuliza ni kwa nini shahidi (شهيد) ameitwa hivo, wanachuoni wametofautiana juu ya hilo:
1- Kwa kuwa yuko hai, kama alivyosema Allaah (Ta´ala):
وَلَا تَحْسَبَنَّ الَّذِينَ قُتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّـهِ أَمْوَاتًا ۚ بَلْ أَحْيَاءٌ عِندَ رَبِّهِمْ يُرْزَقُونَ
“Na wala usiwadhanie wale waliouawa katika njia ya Allaah wamekufa. Bali wahai kwa Mola wao wanaruzukiwa.” 03:169
2- Kwa kuwa Allaah na Malaika Wake wameshuhudilia شهدوا Peponi.
3- Kwa kuwa Malaika wanamshuhudilia تشهد .
4- Kwa kuwa ameshuhudia haki تشهادة mpaka akauawa.
5- Kwa kuwa ameshuhudia يشهد yale Allaah aliyomuahidi juu ya karama za kifo.
6- Kwa kuwa ameshuhudia شهد uwepo wa Allaah na haki ya upwekee ya kuabudiwa kwa vitendo wakati wengine wamemshudilia kwa maneno.
7- Kwa kuwa ameanguka kwenye ardhi inayomshuhudilia شاهد .
8- Kwa kuwa anashuhudia شهد ya kwamba ni lazima aingie Peponi.
9- Kwa sababu ya shahidi wake شاهد ambaye ni damu.
10- Kwa kuwa Amemshuhudilia شهد imani na mwisho mwema.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Muhammad al-Hanbaliy al-Manbajiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasliyatu Ahl-il-Maswaa-ib, uk. 229-230
- Imechapishwa: 21/12/2016
Mtu akiuliza ni kwa nini shahidi (شهيد) ameitwa hivo, wanachuoni wametofautiana juu ya hilo:
1- Kwa kuwa yuko hai, kama alivyosema Allaah (Ta´ala):
وَلَا تَحْسَبَنَّ الَّذِينَ قُتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّـهِ أَمْوَاتًا ۚ بَلْ أَحْيَاءٌ عِندَ رَبِّهِمْ يُرْزَقُونَ
“Na wala usiwadhanie wale waliouawa katika njia ya Allaah wamekufa. Bali wahai kwa Mola wao wanaruzukiwa.” 03:169
2- Kwa kuwa Allaah na Malaika Wake wameshuhudilia شهدوا Peponi.
3- Kwa kuwa Malaika wanamshuhudilia تشهد .
4- Kwa kuwa ameshuhudia haki تشهادة mpaka akauawa.
5- Kwa kuwa ameshuhudia يشهد yale Allaah aliyomuahidi juu ya karama za kifo.
6- Kwa kuwa ameshuhudia شهد uwepo wa Allaah na haki ya upwekee ya kuabudiwa kwa vitendo wakati wengine wamemshudilia kwa maneno.
7- Kwa kuwa ameanguka kwenye ardhi inayomshuhudilia شاهد .
8- Kwa kuwa anashuhudia شهد ya kwamba ni lazima aingie Peponi.
9- Kwa sababu ya shahidi wake شاهد ambaye ni damu.
10- Kwa kuwa Amemshuhudilia شهد imani na mwisho mwema.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Muhammad al-Hanbaliy al-Manbajiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tasliyatu Ahl-il-Maswaa-ib, uk. 229-230
Imechapishwa: 21/12/2016
https://firqatunnajia.com/110-sababu-ya-jina-shahidi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)