3- Kufanya uzuri katika kazi. Hiyo ina maana kwamba kazi yoyote unayofanya basi ni lazima kwako kuimairi. Hufanyi hivo ili kutaka kusifiwa. Imepokelewa katika Hadiyth:
“Hakika Allaah anapenda pindi mmoja wenu anapofanya kazi basi aifanye kwa uzuri.”[1]
[1] al-Bayhaqiy katika ”Shu´bat-ul-Iymaan” (04/334) (5313, 5314).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 229
- Imechapishwa: 28/01/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)