Katika sifa za mke mwema ni kwamba Allaah Akimneemesha kwa kumpa watoto anatakiwa kufanya uadilifu kati yao. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Fanyeni uadilifu baina ya watoto wenu. Fanyeni uadilifu baina ya watoto wenu.”
Hadiyth hii imepokelewa na Abu Daawuud[1] na kumekuja Hadiyth nyingi kwa maana kama hii.
[1] 3544. Imepokelewa na an-Nu´maan bin Bashiyr (Radhiya Allâhu ´anh). al-Albaaniy amesema kuwa ni Swahiyh katika ”as-Swahiyhah” (1240).
- Muhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifaat-uz-Zawjah as-Swaalihah, uk. 41
- Imechapishwa: 12/08/2018
Katika sifa za mke mwema ni kwamba Allaah Akimneemesha kwa kumpa watoto anatakiwa kufanya uadilifu kati yao. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Fanyeni uadilifu baina ya watoto wenu. Fanyeni uadilifu baina ya watoto wenu.”
Hadiyth hii imepokelewa na Abu Daawuud[1] na kumekuja Hadiyth nyingi kwa maana kama hii.
[1] 3544. Imepokelewa na an-Nu´maan bin Bashiyr (Radhiya Allâhu ´anh). al-Albaaniy amesema kuwa ni Swahiyh katika ”as-Swahiyhah” (1240).
Muhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifaat-uz-Zawjah as-Swaalihah, uk. 41
Imechapishwa: 12/08/2018
https://firqatunnajia.com/11-mke-mwema-anatakiwa-kuwa-muadilifu-kwa-watoto-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket