1002- Imepokelewa kutoka kwa Abu Sa´iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Katika kila mchana na usiku (katika Ramadhaan) kuna ambao Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) huwaacha huru. Hakika kila muislamu katika kila mchana na usiku huomba du´aa yenye kupokelewa.”[1]
Ameipokea al-Bazzaar.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/586)
- Imechapishwa: 26/05/2018
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1002- Imepokelewa kutoka kwa Abu Sa´iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Katika kila mchana na usiku (katika Ramadhaan) kuna ambao Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) huwaacha huru. Hakika kila muislamu katika kila mchana na usiku huomba du´aa yenye kupokelewa.”[1]
Ameipokea al-Bazzaar.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/586)
Imechapishwa: 26/05/2018
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/11-hadiyth-katika-kila-mchana-na-usiku-katika-ramadhaan/