107 – Haipendekezwi mtu kuchimba kaburi lake kabla ya kufa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakufanya hivyo wala Maswahabah wake (Radhiya Allaahu ´anhum). Mja hajui atakufa wapi. Ikiwa madhumuni ya mtu ni kujiandaa kwa ajili ya mauti, basi hilo linafanywa kwa matendo mema.
Hivyo imeandikwa katika ”al-Ikhtiyaaraat al-‘Ilmiyyah” ya Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah).
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz wa Bid´ahaa, uk. 204
- Imechapishwa: 29/07/2026
107 – Haipendekezwi mtu kuchimba kaburi lake kabla ya kufa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakufanya hivyo wala Maswahabah wake (Radhiya Allaahu ´anhum). Mja hajui atakufa wapi. Ikiwa madhumuni ya mtu ni kujiandaa kwa ajili ya mauti, basi hilo linafanywa kwa matendo mema.
Hivyo imeandikwa katika ”al-Ikhtiyaaraat al-‘Ilmiyyah” ya Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah).
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz wa Bid´ahaa, uk. 204
Imechapishwa: 29/07/2026
https://firqatunnajia.com/105-mtu-kujichimbia-kaburi-lake/