Swali 102: Ni ipi hukumu ya kuandika du´aa ya kuingia makaburini kwenye mlango wa makaburi[1]?
Jibu: Sitambui msingi juu ya hilo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kuandika juu ya kaburi. Kuna khatari kuandika juu ya ukuta wa makaburi ikawa ni njia inayopelekea kuandika juu ya makaburi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/244).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 71¬-72
- Imechapishwa: 08/01/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)